Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Bi. Rose Shelukindo akisisitiza umuhimu wa zoezi la Kujiandaa na Maafa yanayofanyika mjini Bagamoyo.
Baadhi ya Washiriki wa zoezi la Kujiandaa na Maafa wakifuatilia maelezo ya Mpango wa kujiandaa na Maafa yanayofanyika mjini Bagamoyo kutoka kushoto ni John Jordan Mratibu i mradi CDHAM , Mhandisi. Fanuel Kalugendo-Ofisi ya Waziri Mkuu na Faith Cooper Mratibu Mradi CDHAM.
Mkurugenzi Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Lut Jen (Mst) Sylivester Rioba (wa pili kulia), Mkurugenzi Msaidizi (Operasheni) Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Nyancheghe Nanai (kushoto) na Mkurugenzi wa Masuala ya Afya USAFRICOM wakiwa pamoja mara baada ya Uzinduzi wa zoezi la kujiandaa na maafa.
Washiriki kutoka Tanzania, Marekani, Kenya, Nigeria,Ghana na Uganda wakiwa pamoja baada ya Uzinduzi wa zoezi la Kujiandaa na Maafa yanayofanyika kuanzia tarehe 3- 7 Februari 2014 Mjini Bagamoyo, Zoezi hilo limeandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na USAFRICOM na CDHAM. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...