Waziri wa nchi ofisi ya Rais Mhe.Prof.Mark J.Mwandosya akizungumza na Mawaziri wa Rwanda.Kutoka kulia ni waziri ofisi ya Rais Mhe.Venantie Tugireyezo, Waziri wa mambo ya nje Mhe.Louise Mushikiwabo pamoja na kaimu balozi wa Tanzania nchini Rwanda Bw. Francis Mwaipaja.
Home
Unlabelled
profesa mwandosya apeleka ujumbe maalum wa Rais Kikwete Kwa Rais Kagame, Rwanda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera sana Mhe. JK, Kwani hatua hii ya kumruhusu Mhe. WZR wako kufanya ziara Rwanda ni ishara tosha kwamba Watanzania hatuna chuki dhidi ya jirani zetu wa Rwanda, tunawapenda na tunauenzi ushirikiano wetu na Rwanda.
ReplyDeleteHistoria ya ulimwengu, inaonyesha kuwa Watanzania siku zote tumekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha amani kwa majirani zetu na pia kwa ulimwenguni kote.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Afrika
This "open hand policy " itawaacha wenzetu bila sababu nyingine zaidi ya wao pia kufunguka na kuuambia ulimwengu "kunani" Asante sana Rais wetu.
ReplyDeleteHii ni Tiba tosha!
ReplyDeleteHakukuwa na sababu ya kufuga mawazo ya sintofahamu kwa ndugu zetu wa Rwanda dhidi yetu Tanzania.
Ni bora mzizi wa fitina umekatwa na sasa Tanzania na Rwanda tufungue ukurasa mpya wa maisha tuishi kwa kuaminiana bila kuhisiana vibaya na kuishi kwa kuogopana na kutuhumiana mwisho wake sio mzuri!!!
Ahsanteni sana Serikali.