Mwenyekiti
wa chama chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia Wananchi na Wanachama wakareketwa wa chama hicho,mapema leo jioni kwenye kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 ya
kuzaliwa kwa chama hicho,yaliyofanyika kwenye uwanja wa kumbukumbu ya
Sokoine,jijini Mbeya,Pichani kulia ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana
akishuhudia tukio hilo.
Sehemu ya Umati wa Watu waliofika kwenye shamrashamra hizo leo.
Mwenyekiti
wa chama chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwa ameshika jembe na
nyundo,ikiwa ni alama ya Mkulima na Mfanyakazi mara baada ya kuwasili
jioni ya leo kwenye kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 ya
kuzaliwa kwa chama hicho,yaliyofanyika kwenye uwanja wa kumbukumbu ya
Sokoine,jijini Mbeya,Pichani kulia ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana
akishuhudia tukio hilo.
Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wasanii mahiri wa Filamu hapa nchini,mara baada ya kuwakabidhi kadi za kujiunga na chama cha CCM jioni ya leo.Pichani nyuma kabisa ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana.
PICHA ZAIDI YA TUKIO HILI INGIA HAPA
Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wasanii mahiri wa Filamu hapa nchini,mara baada ya kuwakabidhi kadi za kujiunga na chama cha CCM jioni ya leo.Pichani nyuma kabisa ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana.
Katibu
wa NEC, Itikadi,na Uenezi CCM Taifa,Nape Nnauye akiwatambulisha baadhi
ya Wasanii nyota wa Filamu hapa nchini,ambao kwa nia thabiti wameamua
kujiunga na chama hicho,wakiongozwa na Jacob Steven a.k.a JB,Blandina
Chagula,Mboto,Irene Uwoya,Single Mtambalike na wengineo.
Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi ya gitaa Msanii maarufu wa jijini Mbeya,Petrol Abel a.k.a Awil,anaeshuhudia ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi.Zakia Meghji. PICHA ZAIDI YA TUKIO HILI INGIA HAPA
Mbeya CHADEMA ziiiii!
ReplyDeleteMbeya CCM oyeeeee!
CCM!,CCM!,CCM!CCM!,CCM!,CCM!,CCM!
CCM!,CCM!,CCM!CCM!,CCM!,CCM!,CCM!
CCM!,CCM!,CCM!CCM!,CCM!,CCM!,CCM!
X TRILLIONI ZOOOTE!
Mbeya Chadema imefunikwa na CCM, mwanzo mwisho!
ReplyDeleteChadema ikifanya Mikutano Mbeya wanao jaza Uwanja ni Oya oya kwa kuwa kwenye Kura ina ambulia namba za viatu!
ReplyDeleteMwisho watu wanashangaa na kujiuliza rundo lote lile mbona nina Kura mbili tu?