Ofisa mazao wa mradi wa uzalishaji na masoko wa ufuta wa shirika la Farm Africa Mkoani Manyara,Tumaini Elibariki (aliyeshika zao hilo kulia) akitoa maelezo kuhusiana na mimea ya zao la ufuta kwa wageni wa kutoka Marekani Root Capital na Small Foundation waliotembelea mradi wa ufuta juzi Kijiji cha Ngoley Wilayani Babati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...