Ratiba fupi ya shughuli za msiba wa mama Theonestina Rweyemamu ni kama ifuatavyo:
  • Kuaga Mwili wa Marehemu Mama Theonestina Rweyemamu itakuwa Jumatano tarehe 5 Februari 2014 kuanzia saa kumi jioni hadi saa mbili usiku. Mahala: Camelot Funeral Home, 174 Stevens Avenue, Mount Vernon, NY 10550;
  • Misa ya Kumwombea Marehemu itakuwa saa nne asubuhi siku ya Alhamisi tarehe 6 Februari 2014 kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu au Sacred Heart Church. Mahala: 115 Sharpe Blvd., South Mount Vernon, NY 10550
  • Kusafirisha mwili wa Marehemu kwenda Tanzania inategemewa kuwa siku ya Ijumaa, tarehe 7 Februari 2014.
Watoto wa Marehemu kina Doris, Steven, Emmanuel na Diana pamoja na familia nzima wanapenda kuwashukuru wote kwa kufika kuombeleza nao na kwa rambirambi zenu. Wanapenda vile vile kuwashukuru WESTADI - NSSF.
Pamoja na ratiba iliyotajwa hapo juu, bado mnaweza kutuma rambirambi zenu kwao na kufika nyumbani kuwaona. Address ni: 40 East Sidney Avenue, Apt # 10C , Mount Vernon, NY 10550. Na namba ya simu ya nyumbani ni 914-667-6456.
Familia itashukuru kwa msaada wowote wa kuwasaidia kuweza kufanikisha mpango wa kumsafirisha mama Theonestina Rweyemamu kwa kutoa chochote kwenye Bank of America, account number 483044166145 routing number 021000322 na jina kwenye account ni Doris Rweyemamu. Familia vile vile inawashukuru wote waliojitolea mpaka sasa kufanikisha shughuli za msiba huu.

Kwa maelezo zaidi unaweza piga simu kwa wafuatao:

Emmanuel Rweyemamu 6462342418, Steven Rweyemamu 3028837971, Dr. Abbas Byabusha 9145847502, Doris Rweyemamu 6463799135.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Amen.
Uongozi
Jumuiya ya Watanzania, New York.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...