Bi. Agnes Matle Ngula 
24 Dec 1948 – 25 Feb 2014

Familia ya Bwana Venance Ngula inasikitika kutangaza kifo cha mkewe Bi. Agnes Matle Ngula kilichotokea saa 1.30 asubuhi siku ya Jumanne, tarehe 25 Februrari 2014, katika Hospitali ya TMJ, Dar Es Salaam- Tanzania.

Msiba upo nyumbani kwa familia ya Bw. Venance Ngula, eneo la Masaki, mkabala na Seacliff  Appartments, Dar Es Salaam.

Mazishi yanatarajiiwa kufanyika Jumamosi, jijini Dar Es Salaam. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa familia ya Ngula.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa- Jina lake lihimidiwe daima! Roho ya mama yetu mpendwa ipumzike kwa amani!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. poleni sana.

    ReplyDelete
  2. POLENI SANA KWA KUONDOKEWA NA MAMA KWANI NAELEWA INAVYOUMA...KWELI MWANADAMU NI MAUA UCHANUA NA KUNYAUKA...MTEGEMEENI MUNGU NDIO ATAKAYE WAPA FARAJA YA MOYO WAPENDWA.

    ReplyDelete
  3. Poleni sana wafiwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...