Tunasikitika kutangaza kifo cha baba yetu mpendwa Mzee K.G. NGOWI wa Korogwe Tanga kilichotokea tarehe 16/02/2014. Mazishi yatafanyika siku ya Ijumaa tarehe 21/02/2014 nyumbani kwake Marangu, Mamba Mboni. Habari ziwafikie ukoo wa Ngowi, wakwe zake ukoo wa Kessy na wajomba zake ukoo wa Moshi. Tunamshukuru Mungu kwa maisha yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Rest In Peace mzee wetu wa Korogwe

    ReplyDelete
  2. RIP land lord wetu.. Mpangaji wako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...