Mmoja wa watuhumiwa akiwa na 'mzigo' wake ambao ni feki...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. The mdudu,mpigeni nyundo za nguvu ili iwe fundisho kwa wengene coz tushachoka kuona watu wanavyozichezea mali za uma

    ReplyDelete
  2. But there is no case there, the material is phony rhino task, you can only charge them with an attempt to extract money illegally using false product.

    ReplyDelete
  3. Ebwana eee hivi kuna Mizambwa ya Pembe za wanyama?

    Duhhh, si afadhali huyu angalau anauza njanja anawapiga kuliko wale wanaotumia budnuki na kuua wanyama wetu?

    ReplyDelete
  4. Huyu hakustahili kukamatwa na kuwekwa kwenye Sheria, ilitakuwa watu kama hawa watafutwe kwa wingi IKIWEZEKANA WAAJIRIWE NA SERIKALI, chini ya Waziri Mhe. Nyalandu wawe wanalipwa Mihshara wawepo wafurike ktk Masoko ya Magendo ya Pembe za wanyama ili Wafanya Biashara Haramu wakija wapigwe KWA MZIGO WA PEMBE FEKI ili tuoke wanyama pori wetu na Maliasili za Tanzania!

    Tuwe Wabunifu kuilinda Maliasili yetu !!!, Guys wake up don't Imprison some people like this one!!!

    ReplyDelete
  5. Muuza pembe feki wa nini sasa, kamata wauza real rhino horns

    ReplyDelete
  6. ingawa ametenda kosa ila naunga mkono wazo la wadau waliotangulia.
    endapo pembe feki zitaenea sokoni zitaharibu soko la pembe halisi na hii itapunguza mauaji ya tembo.

    ichukuliwe kama changamoto kwa wahusika kuwa wabunifu na kutumia njia kama hizi

    ReplyDelete
  7. Wazo zuri ,
    Inabidi wawezeshwe ,wachina wenyewe watakoma, mbona wao wanatuletea maplastiki na vitu kibao feki mpaka madawa baridi,kondom n.k
    Hawa jamaa ni wabubifu wafumbiwe macho kidogo

    ReplyDelete
  8. this man is smart, kuliko kuua wanyama, wenye tamaa wapigwe changa la macho kama hivi.

    ReplyDelete
  9. HAWA NI WANAMAZINGIRA NA WANATAKIWA KUPONGEZWA KWA KUWAJENGEA MAISHA SALAMA FARU, DUNIA YA LEO INA VITU VINGI SANA AMBAVYO NI MBADALA NAVYO NI MBAO, NGOZI NA MAWE YA UREMBO NA HATA JUISI ZA MATUNDA AMBAVYO SI HALISI. TANAPA KUWAKAMATA HAWA SI SAHIHI LABDA TU KAMA MLITAKA WAUZE PEMBE HALISI ZA FARU. HIVI NIKIWA NA PEMBE YA NDOVU AU FARU YA KUIGIZA NYUMBANI KWANGU MTANIKAMATA? FIKIRINI KABLA YA KUCHUKUA HATUA.

    ReplyDelete
  10. Nakubaliana na nyie wote, jamaa kosa hamna, labda kutaka kujipatia pesa kwa udanganyifu. Wanasheria naomba mnielemishe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...