Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, akifunua pazi ili kuzindua Baraza la Wafanyakazi wa SSRA, Bagamoyo leo.Anayepiga makofi ni Mkurugenzi Mkuu wa SSRA, Bi. Irene Isaka.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi wa SSRA, Bagamoyo leo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bi. Irene Isaka, akisoma hotuba yake na kisha kumkaribisha Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, aliyekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, akimkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Uhamasishaji, Sarah Kibonde Mkataba wa Huduma kwa Wateja, wakati wa uzinduzi huo. Kushoto niMkurugenzi Mkuu wa SSRA, Bi. Irene Isaka.
Mkurugenzi Mkuu wa SSRA, Bi. Irene Isaka, akimkabidhi Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, Mkataba wa Baraza la Wafanyakazi wa SSRA. Kulia anayepiga makofi ni Mkurugenzi wa Utumishi na Utawa wa wizara hiyo, Noah Mwaikuka.
Mwakilishi wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Athuman Juma, akisoma risala ya wafanyakazi wa mamlaka hiyo, wakati wa uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi, lililozinduliwa naWaziri wa Kazi na Ajira, Gaudetia Kabaka, Hoteli ya Millenium Sea Breeze, Bagamoyo, mkoani Pwani leo. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Baadhi ya wafanyakazi wa SSRA, wakiwa katika mkutano wa uzinduzi huo, Bagamoyo, mkoani Pwani leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa SSRA, wakiwa katika mkutano wa uzinduzi huo, Bagamoyo, mkoani Pwani leo.Picha zaidi bofya hapa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...