Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni
wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akitoa maelezo kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali (Mstaafu) Issa machibya juu ya ziara yake katika mkoa
huo ambayo ililenga kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji
na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila
mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na ya baadaye.
Mkurugezi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni
wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akiangalia baadhi ya bidhaa katika soko kuu la mkao
wa Kigoma. Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Bw. Bakari Beji.
Lengo la zaira ya watendaji wa PSPF mkoani humo ni kukutana na wadau wa Mfuko
huo, kuangalia fursa za uwekezaji na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango
wa uchangiaji wa hiari (PSPF
Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao
bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Ujumbe wa watendaji wa PSPF pamoja na wale wa Manispaa
ya Kigoma Ujiji wakitembelea moja ya soko. Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam
Mayingu aliongoza ujumbe wa watendaji wake mkoani Kigoma kwa lengo la kukutana
na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii
kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na
kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Mkuu wa mkoa wa Mara, Bw. John Tupa, akitioa maelezo juu ya Mradi wa Ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoani humo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu (Kulia), Mkurugenzi wa PSPF alitembelea mkoa huo kwa lengo la kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu, akitoa maelezo kwa watendaji wakuu wa mkoa wa Mara juu ya ziara yake mkoani humo, lengo la ziara hiyo ni kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Mkuu wa mkoa wa Mara, Bw. John Tupa, akitioa maelezo juu ya Mradi wa Ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoani humo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu (Kulia), Mkurugenzi wa PSPF alitembelea mkoa huo kwa lengo la kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu, akitoa maelezo kwa watendaji wakuu wa mkoa wa Mara juu ya ziara yake mkoani humo, lengo la ziara hiyo ni kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...