Wadau wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF wakipata huduma ya kupimna afya bure kwenye banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Wadau wa mkutano huo wakiwa kwenye foleni ya kupima afya bure kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa PSPF uliozinduliwa jana na Rais Mstaafu All Hassan Mwinyi.
Wakipata vipimo vya sukari na shinikizo la damu.
Maofisa kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya na wataalam kutoka Hospitali ya Amana wakitoa huduma kwa wadau hao.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...