Makamu mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TASAF Taifa Abbas Kandoro akizungumza na Wazee wa Mtaa wa Mbulani katika kata ya Ruvuma Mjini Songea mara baada ya kukagua mradi wa Mashine ya kusaga na kukoboa nafasi wa wazee hao
Wazee wa Kata ya Ruvuma wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati Tendaji ya Kitaifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF
Wajumbe wa kamati Tendaji ya TASAF Kitaifa wakikagua mradi wa ufugaji wa Ngombe wa Vijana wa Mtaa wa Muungano Mjini Songea. Katika mradi huu TASAF imewawezesha vijana kupata shilingi milioni 5 za kununulia mitamba kwa ajili ya mradi huo.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TASAF Taifa Abbas Kandoro akisoma nembo ya TASAF katika jengo la vyumba viwili vya madarasa lililojengwa katika shule ya Sekondari Ndongosi Songea Vijijini. vyumba hivyo pia vimekewa meza na viti kwa ajili ya wanafunzi 70 pamoja na meza na makabati
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu anayeshughulikia TAMISEMI Zuberi Tamasaba akizungumza na wanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya Ndongosi Songea Vijijini. Picha na Estom Sanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...