Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Mheshimiwa Ali Juma Shamhuna mara alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Muscat kuanza Ziara ya kikazi nchini Oman, kushoto ni Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman Mhe. Dr. Rawiyah Al Busaidi, wa kwanza kulia ni Mheshimiwa Ali Ahmed Saleh, Balozi wa Tanzania nchini Oman.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Mheshimiwa Ali Juma Shamhuna wa pili kutoka kushoto akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman Mhe. Dr. Rawiyah Al Busaidi, wa pili kulia , wa kwanza kushoto ni Mheshimiwa Ali Ahmed Saleh, Balozi wa Tanzania nchini Oman.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Mheshimiwa Ali Juma Shamhuna wa tatu kulia akiongoza ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo na Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman Mhe. Dr. Rawiyah Al Busaidi akiongoza ujumbe wa Oman Kushoto , wa nne kushoto ni Mheshimiwa Ali Ahmed Saleh, Balozi wa Tanzania nchini Oman.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Mheshimiwa Ali Juma Shamhuna kushoto na Waziri wa Elimu ya Juu wa Oman Mhe. Dr. Rawiyah Al Busaidi wakitia saini nyongeza katika mkataba wa ushirikiano wa Elimu ya Juu baina ya Oman na Zanzibar.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Mheshimiwa Ali Juma Shamhuna kushoto akiwa katika Mazungumzo na Waziri Kazi wa Oman kuhusu ushirikiano katika sekta ya mafunzo ya amali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...