With salams and Jambo from Bukoba

Every year Rebeka was born with a lump and as she grew the lump also grew bigger, Dr. David pointed that it was originated from the spine and she can only be operated by a Neuron Surgeon

We  now appeal to our generous donors to help the suffering humanity. 
See below
Mubaarak Abdullah

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunawashukuru madaktari kuweza kufanikisha hilo zoezi. Tunamwombea mgonjwa waweze kupona haraka na kurudi katika shughuli zake za kila siku.
    Sijui ni macho yangu au vipi lakini mbona wameshindwa kumyoa hizo nywele zilizokua karibu na sehemu ya kidonda jamani kabla ya operation yenyewe ili kuondoa usumbufu kwenye kufunga na kusafisha kidonda?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...