With salams and Jambo from Bukoba
Every year Rebeka was born with a lump and as she grew the lump also grew bigger, Dr. David pointed that it was originated from the spine and she can only be operated by a Neuron Surgeon
We now appeal to our generous donors to help the suffering humanity.
See below
Mubaarak Abdullah
Tunawashukuru madaktari kuweza kufanikisha hilo zoezi. Tunamwombea mgonjwa waweze kupona haraka na kurudi katika shughuli zake za kila siku.
ReplyDeleteSijui ni macho yangu au vipi lakini mbona wameshindwa kumyoa hizo nywele zilizokua karibu na sehemu ya kidonda jamani kabla ya operation yenyewe ili kuondoa usumbufu kwenye kufunga na kusafisha kidonda?