Naibu Waziri wa Fedha Mhe Mwigulu Mchemba akifuatilia (kulia) kwa karibu kikao cha Bunge la Pamoja la Afrika, Karibiani, Pacific na Jumuiya ya Ulaya kinachoendelea Strasbourg Ufaransa. Mhe. Mchemba anawakilisha Baraza la Mawaziri la Afrika, Karibiani na Pacific katika kikao hiki. Pamoja na mambo mengine, kesho atalihutubia Bunge na kujibu maswali ya Wabunge. Kulia ni Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala.
Home
Unlabelled
MHE MWIGULU MCHEMBA ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE LA PAMOJA LA AFRIKA, KARIBIANI, PACIFIC NA JUMUIYA YA ULAYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...