Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh Fatma Abubakar Mwassa akikata utepe kuzindua rasmi tawi la AccessBank Tabora mnamo tarehe 15th March 2014. Wa kwanza kutoka kushoto ni Afisa Masoko mkuu mwandamizi wa benki hiyo Ndugu Muganyizi Bisheko akifatiwa na muwakilishi wa uongozi wa AccessBank Ndugu Emmanuel Venance. Waliosimama kushoto ni mkuu wa wilaya ya Tabora mh. Suleiman Kumchaya akifatiwa na Meneja wa Tawi hilo ndugu Enosy Ndobeji.
Meneja wa Tawi la AccessBank Tabora ndugu Enosy Ndobeji akitoa neon la shukrani kwa walioudhuria hafla ya uzinduzi wa tawi hilo. Kushoto kwake ni Afisa Masoko mkuu mwandamizi wa Benki hiyo ndugu Muganyizi Bisheko na aliekaa kulia ni Mwakilishi wa uongozi wa Benki hiyo ndugu Emmanuel Venance.
Wafanyakazi wa AccessBank tawi la Tabora wakiwa katika picha ya pamoja katika hafla ya uzinduzi wa Tawi hili iliyofanyika tarehe 15th March 2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...