Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akizungumza na Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na watu wanaodaiwa kuwa ni Viongozi wa CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa.
Katibu wa Wilaya ya Makete Miraji Mtaturu akizungumzia tukio lililomkuta Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na wanaodaiwa kuwa Viongozi wa CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa kuwa ni kitendo cha kinyama na cha kupingwa kwa nguvu zote na kitendo hicho kimemvua sifa za kuwa mgombea ubunge wa CUF.
hahahahahahaha..........mbona hata hamkuweka sababu ya hilo tukio ili tuweze kulaani wote? au mnalaani wenyewe tu na kumvua sifa za uongozi kwa staili muijuayo??
ReplyDelete