Home
Unlabelled
JK atua mjini DODOMA leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naona Mh. Mizengo Pinda ktk picha(kulia) anamwambie Mzee JK (kushoto) ''bora umekuja mwenyewe maana hapa Dodoama mambo ni mazito''! Tumejaribu kuokoa jahazi lakini chombo kinazidi kuyumba. Jk anajibu' Mimi nakuamini Pinda mambo yote umeweza kusawazisha kabla sijatua''
ReplyDeletenawashangaa hawa wajumbe vitu vidogo vinawashinda, ikiwa wanataka kujua watumie kura ya siri au wazi , si waangaulizwa wale wanataka kura za siri wasimame na wanaotaka kura ya wazi wakae , halafu wahesabiwe hii inahitaji uwe na akili nyingi? lakini sishangai sehemu kubwa ya wajumbe ni watupu kichwani hamna lolote ndio maana wametiwa humo kuongeza kura za kimamluki
ReplyDelete