Mwenyekiti wa muda wa kamati No. 10 ya Bunge Maalum akitoa maelekezo ya namna ya kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wakati kamati hiyo ilipokutana katika ukumbi wa St. Gasper kuchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo.
Mjumbe wa Bunge Maalum Prof. Makame Mbarawa akiomba kura kwa wajumbe wa kamati No. 1 ya Bunge Maalum kwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Muda Mhe. Ally Keissy Mohamed na Katibu wa Kamati hiyo James Warbag wakimsikiliza kwa makini.
Wajumbe wa Kamati wakipiga kura.
Wajumbe wa Kamati wakipiga kura.
Maafisa wa Sekretariat ya Kamati No. 11 wakihesabu kura mara baada ya kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti hiyo huku Mgombea mmojawapo Mhe. Anne Kilango Malecela akijisimamia mwenyewe kuhesabu kura mbele ya Mwenyekiti wa Muda Mhe. Adamu Malima.
Wajumbe wakisikiliza matokea ya uchaguzi.
Wajumbe wakisikiliza matokea ya uchaguzi.
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti katika kamati No. 10 ya Bunge Maalum la Katiba Prof. Ibrahim Lipumba akimpongeza Mhe. Anna Abdalah baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo. Picha na Owen Mwandumbya - Sekretariat ya Bunge Maalum

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...