Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Mhe. Lucas Kadawi Limbu (mwenye suti katikati) akilakiwa na wafuasi wa chama hicho baada ya kukagua kikundi cha ngoma muda mfupi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa
Mwanza mwishoni mwa wiki.
Mhe. Limbu alifanya mkutano wa hadhara na kupokea wanachama wapya katika Kata ya Igoma Jijini hapa.Kushoto ni Kamishin wa chama hicho Kanda ya Ziwa Shaaban Itutu.

Waendesha pikipiki wakiongoza mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) Mhe. Lucas  Kadawi Limbu, alipowasili Jijini Mwanza kwa ziara ya kikazi na baadaye kufanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Igoma Jijini hapa.
 
Katibu Mkuu wa cha Democratic For Change (ADC)  Mhe. Lucas  Kadawi Limbu akisisitiza jambo wakati akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Igoma Jijini Mwanza. PICHA NA MASHAKA BALTAZAR -MWANZA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huyu ana cheo gani manake sehemu zingine kwenye vyombo vya habari wanasema ni mwenyekiti wa ADC hapa mnasema katibu mkuu, lipi ni lipi?

    ReplyDelete
  2. Limbu, Mwenyekiti wa Alliance for Change and Transparency Tanzania na Katibu mkuu wa Alliance for Democratic Change ! Bila shaka ni bingwa wa siasa na sheria zetu zimetulia!

    sesophy

    ReplyDelete
  3. He!Bendera kama ya chadema vile.Some CHADEMIC influence in Mwigamba???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...