Home
Unlabelled
maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi jijini dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naona pakiisha patapendeza sana ,nilikua na wazo hio barabara kuanzia pale makutano ya Tecnical College na CBE hadi Kimara mwisho paitwe Jakaya Mrisho Kikwete Road na kuatoka pale ndio iendelee kuwa Morogoro Road...ili kumuenzi mheshimiwa rais anaetarajiwa kumaliza kipindi chake 2015 na kumpa heshima na shukrani kwa kutengeneza miundo mbinu mpaka usawa huu kwa sasa..Kwa kweli amejitahidi mno nimefika bongo juhudi za serikali ya awamu ya 4 zinaonekana sana...nawakilisha kwako prof.Michizi.
ReplyDeletemdau wa UK