Mkutano Mkuu wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014 ambao Utafanyika mkoani Morogoro katika ukumbi wa CCT kuanzia tarehe 11 hadi 12 Machi 2014 na utafunguliwa na Mhe. Pindi H. Chana Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Ambapo watoto watapitia taarifa za utekelezaji za Mabaraza ya Watoto ya Wilaya na Mikoa Nchi nzima pamoja na kuchagua viongozi wapya wa Baraza hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...