Afisa Uhusiano wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu (kushoto) akizungumza na mmoja wa wanakikundi  cha Tumaini Kijiji cha Lemguru,Kata ya Kisongo wilaya ya Arumeru,Elizabeth Daniel ambaye ameanzisha ufugaji baada  kupata mafunzo kutoka asasi  isiyo ya kiserikali ya Ace Africa iliyopewa fedha kiasi cha dola za Marekani 64,000.
 Meneja Mauzo wa kampuni ya Bia(TBL)Kanda ya kaskazini,Wilderson Kitio(kulia)akizungumza na maafisa wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Ace Africa  wakati wa ziara ya kutembelea miradi iliyofadhiliwa na TBL kupitia asasi hiyo mkoani Arusha hivi karibuni
 Afisa Uhusiano wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu (kulia) akizungumza na mmoja wa wanakikundi  cha Tumaini Kijiji cha Lemguru,Kata ya Kisongo wilaya ya Arumeru,Naserian Mayase wakati wa ukaguzi wa miradi ilifadhiliwa na TBL kupitia taasisi isiyo ya kiserikali ya Ace Africa.Picha na Mpigapicha Wetu
Afisa Miradi wa asasi isiyo ya kiserikali ya Ace Africa,Baraka Mshana(katikati) akiwapa maelezo ya umuhimu wa matumizi ya majiko banifu kwaajili ya kulinda mazingira,Meneja Mauzo wa kampuni ya Bia Kanda ya Kaskazini,Wilderson Kitio(kushoto)na  Afisa Uhusiano wa TBL,Doris Malulu .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...