Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiwa ameambatana na mkuu wa wilaya ya Moshi,Ibrahim Msengi wakiwa na mwenyeji wao mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi,(MUWSA)mhandisi Cyprian Luhemeja wakati akitembelea chanzo cha maji cha Cofee Curing.
Chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
Jengo dogo ambalo linatumika kuhifadhi dawa maalumu ya kuweka kwenye maji kwa ajili ya Chlorination.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maofisa wa MUWSA.
Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi(MUWSA)Injinia Cyprian Luhemeja akifafanua jambo kwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama wakati alipotembelea Tanki la maji la Kil.(Kulia)ni mkuu wa wilaya ya Moshi Ibrahim Msengi.
Kwa picha zaidi na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunaomba pia mtembelee wilaya ya Rombo ambako maji ni ya mgao hata kipindi cha mvua nyingi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...