Chanzo cha Maji cha Cofee Curing. |
Jengo dogo ambalo linatumika kuhifadhi dawa maalumu ya kuweka kwenye maji kwa ajili ya Chlorination. |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maofisa wa MUWSA. |
Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi(MUWSA)Injinia Cyprian Luhemeja akifafanua jambo kwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama wakati alipotembelea Tanki la maji la Kil.(Kulia)ni mkuu wa wilaya ya Moshi Ibrahim Msengi. Kwa picha zaidi na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii BOFYA HAPA |
Tunaomba pia mtembelee wilaya ya Rombo ambako maji ni ya mgao hata kipindi cha mvua nyingi.
ReplyDelete