MC Luvanda akiwapanga wajumbe  wa kamati ya maandalizi kwa picha ya pamoja katika mnuso wa Send Off ya mdau Tukae Mohamed usiku huu katika ukumbi wa Bwalo la Polisi Oysterbay jijini Dar es salaam. Chini ni marafiki wa Tukae kwenye mnuso huo wa nguvu. Tukae atameremeta rasmi wiki ijayo jijini Mwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...