Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akifunga mafunzo ya siku tatu kwa washiriki juu ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru katika Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar.
Mwakilishi wa TradeMark Afrika Mashariki kupitia Tanzania Asaac Mtwale akiwashukuru washiriki wa mafunzo juu ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru bara maada ya kufungwa kwa mafunzo hayo katika Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum (hayupo pichan) alipokua akifunga mafunzo hayo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum (wakatikati waliokaa) katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mafunzo ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru yaliyofanyika Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar. (PICHA NA MAKAME MSHENGA WA MAELEZO ZANZIBAR).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. tunaomba serikali iwe wazi ituwekee list ya vitu ambavyo ukiingiza nchini kutoka nje havina ushuru , manaake hawa akina TRA wanafanyaga ushenzi wakati mwengine wanakulipisha vitu kumbe havina ushuru , hii kuficha ficha ya serikali inaonyesha ina nanihii ili kuwananihii wananchi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...