NUTA JAZZ BAND WANAKUPA 'FRELIMO'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Duh, Ankali! umenikumbusha mbali sana wakati wanamuziki wakitunga 'mistari' yenye ujumbe mbalimbali kuanzia Ukombozi, Lishe bora, Utamaduni, Historia na Mapenzi pia.

    Siku hizi ujumbe ktk 'mistari' ya 'wasanii' ni Mapenzi /Utajiri tu au ni kwa vile hakuna 'wanamuziki' siku hizi?

    Miaka ya 1970-80 maisha yalikuwa matamu,ni pressure no stress.

    Mdau
    Mkongwe

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...