Madilu System  "Ya Jean"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mkuu umegusa gwiji la muziki.Hii Album "ilifunika" sana lakini kuna wimbo mmoja mzuri kwenye album hii ulimletea matatizo Madilu na Utawala wa Congo ukapigwa marufuku DRC-Wimbo Mort Vivant Somida(kwa wanaofahamu kifaransa na kilingala wanaelewa alichokiimba).

    Ankal ukipata muda tafuta album yake aliyoitoa mwezi mmoja kabla ya kifo chake 2007:"La Bonne Humeur"haikutamba sana TZ lakini ilikuwa moto Congo.Vibao kama Bruno Dika,aminata,vincent,Tonton gigolo,nk

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...