![]() |
Kamera yetu pia imewakamata Mhe. Cynthia Ngoye na Mhe.Amina Makilagi,Wajumbe wa Bunge maalumu la Katiba wakifanya mazoezi ya kutembea mapema leo mjini Dodoma. Mhe. Ngoye ametuambia kwamba wao hutembea umbali wa kilomita 3 kila siku katika kujiweka sawa kimwili na kifikra kabla ya kuingia bungeni. Chini ni Mhe Yahya Kassim Issa,ambaye ni bingwa wa Marathon Bungeni |
![]() |
Mjumbe Mhe.Mwanakhamis Kassim Said pia hakosi kujilawa kila asubuhi kukimbia na kutembea mjini Dodoma. Anasema yeye pia ni mcheza Judo na anasikitika hana patna wa kufanya naye mazoezi hapa Dodoma |
Thanks Ankal kwa picha hizi. ni muhimu kurekodi vitu hivi na ku broadcast hata kwenye TV ili kuhamasisha michezo katika jamii. Inafurahisha sana
ReplyDeleteWebgine wanazuga tu. Tizi peke yake siyo tija, tizi na lishe bora ndo tija.
ReplyDeleteHongereni waheshimiwa mtu ni afya!
ReplyDeleteMazoezi ni survivor kwa wote waliozidi miaka 40, kama ufanyi zoezi lolote na umefifikia au kupita umri huu hujitakii mema kiafya. Sana sana kutembea haraka haraka nusu saa kwa siku ni vizuri kwa afya (brisk walk)
ReplyDeleteSafi sana waheshimiwa!!
ReplyDeleteAkikimbia Lowasa watu ooh, kalipa waandishi wampige picha.....sam pipo bwana, hooovvyooo!!