Wanawake wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa katika maandamano. |
Wanawake wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakipita mbele ya mgeni rasmi (hayupo pichani) wakiwa wamejawa na furaha. |
Wanawake kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa katika Picha ya Pamoja. |
Picha na Reginald Kisaka
|
Hongereni wanawake wote na mlionekana kwenye picha mmependeza kweli kweli.
ReplyDelete
ReplyDeleteNawaunga mkono ila mabadiliko muyafanye ninyi kwa kufanya jitihada tangu shuleni kule msingi. mtoto wa kike anakaa nyuma darasani, aogopa, n.k.afikiria kuolewa ili atunzwe na wachapakazi.
Mi binti yangu namfunza kila kitu awezacho mwanamme, kubaili tairi, kufanya hesabu, kufikiri na kutowa mawazo mazuri zaidi ya wanaume, nk.
Tatizo ni kutaka kufanikiwa kwa kuwezeshwa (ikimaanisha mafanikio yenu lazima mwanaume abanwe). Mfano, kazi hii asipewe Joseph apewe Josephina ili pawepo mwanamke pia, bila kujali ubora. La, inatakiwa kujenga uwezo wa kumiliki soko la ajira. Dunia hii ni kusavaivu.