Jumla ya wagombea watano wamechukua fomu za kuwania Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Chalinze, Bagamoyo,
Zoezi litafungwa rasmi tarehe 12 Machi 2014 saa kumi kamili alasiri, kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Bagamoyo, David Shija.
Wagombea hao ni:-
- Mathayo Torongey (CHADEMA)
- Phabian Skauki wa (CUF)
- Vuniru Hussein (NRA)
- Ramadhan Mgaya (ASP)
- Ridhiwani Kikwete (CCM)
Atakaye chaguliwa awe makini kutetea maendeleo. Asiwe kama wabunge wa Dar es Salaam ambao wameshindwa kutetea na kuhamasisha ujenzi wa barabara za juu jijini humo. Hali ni mbaya mbaya sana. Nafikiri hata Mhe. Kikwete atamaliza muda wake bila kujenga barabara ya juu hata moja. Tusubiri miujiza.
ReplyDelete