Ajali hii imetokea leo jirani na shule ya sekondari ya Mkongo jijini Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Anko tafadhali hii sio habari

    Tunategemea kujua:
    1. Namba za magari
    2. Wamiliki
    3. Idadi ya Majeruhi kama wapo
    4. Idadi ya Vifo kama vilikuwepo

    Mfano hiyo gari ni ya rafiki au ndugu yako unafikiri utajisikiaje ukiona picha bila taarifa yoyote ile?

    Kama unazo tufahamishe ili iwe habari na sio hivi

    ReplyDelete
  2. Ooooh! Aina hii ya malori tena!!! Duh, hii si mara ya kwanza au ya pili kuona aina hii ya malori yakiwa yamepinduka au kuangukia magari mengine. Nakumbuka kuona aina hii ya lori maeneo ya Mbezi Beach iliangukia RAV4 na sehemu nyingine tena niliona limepinduka.

    Nadhani ni wakati muafaka kwa vyombo husika kuyafanyia uchunguzi malori ya marefu ambayo hubeba kokoto na mchanga, yawezekana yana matatizo makubwa ya kiufundi.

    Kwani tatizo letu kubwa hapa Tanzania ni uchunguzi kwa magari ya used yaingiayo nchini hususani malori hakuna.

    ReplyDelete
  3. Huyo mwenye gari ndogo hana cha kufanya zaidi ya kulia tu. Kama ana Bima ya comprehensive ataambulia kitu lakini kama hana tumpe pole.

    ReplyDelete
  4. NAKWELI HIYO SI HABARI.
    HAIJAKAMILIKA

    ReplyDelete
  5. Amakweli Tanzania tambarale,kwa jinsi watu walivyo kaa na kuduwaa huwezi amini kuna binadamu kanasa ndani ya hilo gari dogo.wakuu wa polisi wanaoneka na vifimbo vyao wakiangalia utadhani mtu yuko sokoni kuchagua machungwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...