Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akipata selfie na wadau wa London waliomtembelea hotelini kwake ili kumpa zawadi ya kitabu. Dkt Mwinyi alikuwa katika msafara wa Rais Kikwete alipofanya ziara ya kiserikali ya siku tatu Uingereza kwa mwaliko wa Waziri mkuu David Cameron

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...