Hafla ya kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Jeshi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Marehemu Meja Jenerali Kelvin Msemwa iliyofanyika uwanja wa makao makuu ya Jeshi, Upanga, Dar es salaam, April 6, 2014. Marehemu alifariki dunia April 3, 2014 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo. Mwili wake unasafirishwa kuelekea Songea kwa mazishi Jumatatu April 7, 2014
Amiri Jeshi Mkuu Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho
Wakitoa pole kwa wafiwa
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akielekea kutoa heshima zake za mwisho
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akitoa heshima zake za mwisho
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akimfariji mjane wa marehemu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Pole kwa wafiwa bwana awajaalie nguvu na ustahamiliv.
ReplyDeleteRIP Commandent