Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro .Robert Boaz akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa mchezo wa Karate ambao ni askari polisi,Kabelwa Ferdinando(katikati) na Wembo Ailala. |
Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro .Robert Boaz akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa mchezo wa Karate ambao ni askari polisi mkoa wa Kilimanjaro |
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii
kanda ya kaskazini.
Hao Maafande wa Polisi wa Kareti mngewaleta huku kwetu Manzese-Tandale Uzuri, ili kukabiliana na Mabaunsa wa Mitaani, Vibaka na wakabaji maana tunapata tabu sana na Wabeba Vyuma Mitaani!!!
ReplyDelete