Askari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro wakifanya mazoezi mbele ya Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, SACP Deusdedit Nsimeki, alipofanya ziara ya ukaguzi wilayani humo mwishoni mwa juma.
 Askari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro wakifanya mazoezi mbele ya Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, SACP Deusdedit Nsimeki, 
 Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, SACP Deusdedit Nsimeki, akikaribishwa kukagua  askari polisi jamii wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara juzi, alipotembelea wilaya hiyo.
 Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, SACP Deusdedit Nsimeki, akiwakagua askari polisi jamii wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyarai, alipotembelea wilaya hiyo.
Askari wa kituo cha Polisi Mirerani Wilayani Simanjiro wakijiandaa kukaguliwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, SACP Deusdedit Nsimeki alipotembelea wilaya hiyo kufanya ukaguzi
 Mkuu wa kituo cha Polisi Mirerani Wilayani Simanjiro, SP Ally Mohamed Mkalipa (kushoto) akimwelezea Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, (SACP) Deusdedit Nsimeki, kuhusiana na maendeleo ya polisi jamii, kwenye mji mdogo wa Mirerani  alipokuwa akiwakagua mwishoni mwa juma.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Manyara, (SACP) Deusdedit Nsimeki (kushoto) akizungumza na askari polisi wa kituo cha Mirerani Wilayani Simanjiro wakati alipokuwa akiwakagua mwishoni mwa juma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hili naona sebene jipya la kina ras makunjas

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...