Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye sambamba na Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete wakiyarudi magoma wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika leo April 2,2014 katika Kijiji cha Lugoba,Kata ya Lugoba.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia Mamia ya wakazi wa Kijiji cha Lugoba waliofurika kwenye uwanja wa Mnadani,kusikiliza sera ya Mgombea Ubunge huyo leo April 2,2014.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Stephen Masele akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Lugoba wakati wa Mkutano wa Kampeni za CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,leo April 2,2014.
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni za CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akiiangalia kadi ya CHADEMA ya Mzee Masoud Mtonga mara baada ya kukabidhiwa.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akipokea kadi za Chama cha CUF kutoka kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Kata ya Msata,Idd Njema ambaye amejiunga na CCM sambamba na familia yake.katikati ni Meneja wa Kampeni za CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Steven Kazidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. something wrong with young RK, kipara kinakuja at that age! We love you and we will vote for you, you are the only one to bring massive developments in Chalinze constituency.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...