G4S Secure Solutions in partnership with Bhubesi pride have organized a rugby program involving primary schools in Tanzania with the aim of uniting children, empowering local teaching staff and inspiring young leadership.
This is through “Rugby in Africa” project that sees almost ten African countries, in which Tanzania became the 5th country to be visited primarily to support rugby and for community development.
The competition that was held during the weekend in Masaki, Dar es Salaam joined Mapambano primary school together with International school of Tanganyika (IST).
Speaking duing the competition, Lugembe Kahungwa, G4S secure solutions head of sales and marketing said that they have decided to be part of the project so as to raise talents among children in schools.
He said that they also intend to develop local communities in Africa using sports as an educational vehicle.
“We have decided to sponsor this project because we understand that sports are one among the things in the community that can easily unite children and further improve their lives if they seriously consider it as a career,” he said.
On her side, Asha Juma, one of the students from Mapambano primary school said that they have extremely enjoyed and are happy for that they have interacted with other students from IST.
She cited that the competition has gave them a wider opportunity to explore other sports such as rugby for which they had never played it before saying that football and netball were the frequent played sports at their school.
The 10 countries involved in the project are Tanzania, Uganda, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Malawi, Zambia, Botswana, Namibia and South Africa.
The 2014 “Rugby in Africa” project kicked off in Kenya on 17th February and is expected to conclude in South Africa on 27th June.
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi ya Shekilango ya Dar es Salaam wakifanya mafunzo ya mpira wa
Rugby kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika iliyoko Masaki jijini
Dar es Salaa jana.Programu hiyo
inafadhiliwa na kampuni ya G4S Tanzania,
inaratibiwa kwenye nchi kumi za Afrika kwa ajili ya kuendeleza kuunganisha
watoto wa Afrika kupitia mchezo wa Rugby.Kwa
mujibu wa waratibu, nchi hizo zimetajwa kuwa ni Tanzania, Kenya ,Uganda,
Rwanda, Ethiopia ,Malawi, Zambia, Botswana, Namibia na Afrika Kusini.
Mpambano ukiendelea
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi ya Shekilango ya Dar es Salaam wakifanya mafunzo ya mpira wa
Rugby kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika iliyoko Masaki jijini
Dar es Salaa jana.Programu hiyo
inafadhiliwa na kampuni ya G4S Tanzania
Wachezaji
wa Rugby wa Shule ye Msingi ya Mkunguni
ya Kinondoni jijini Dar es Salaam,
wakijifua kwenye mafunzo ya mpira
wa Rugby kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika iliyoko Masaki
jijini Dar es Salaam jana.Programu hiyo
inafadhiliwa na kampuni ya G4S Tanzania,
inaratibiwa kwenye nchi kumi za Afrika kwa ajili ya kuendeleza kuunganisha
watoto wa Afrika kupitia mchezo wa
Rugby.Kwa mujibu wa waratibu, nchi hizo zimetajwa kuwa ni Tanzania,
Kenya ,Uganda, Rwanda, Ethiopia ,Malawi, Zambia, Botswana, Namibia na Afrika Kusini.
Mkuu
wa Mauzo na Masoko wa Kampuni ya G4S Tanzania(Secure Solutions)akiwasisitiza
jambo baadhi ya wanafunzi wa Msingi ya Shekilango ya Dar es Salaam walioshiriki
katika mafunzo ya kucheza mchezo wa Rugby kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa
ya Tanganyika iliyoko Masaki jijini Dar es Salaam jana. Programu hiyo inafadhiliwa na kampuni ya G4S Tanzania, inaratibiwa kwenye
nchi kumi za Afrika kwa ajili ya kuendeleza kuunganisha watoto wa Afrika
kupitia mchezo wa Rugby.Kwa mujibu wa
waratibu, nchi hizo zimetajwa kuwa ni Tanzania, Kenya ,Uganda, Rwanda, Ethiopia
,Malawi, Zambia, Botswana, Namibia na
Afrika Kusini.
Mwalimu
wa Mchezo wa Rugby akiwafundisha jinsi ya kucheza mchezo huo wanafunzi Shule ya
Msingi ya Mkunguni ya Kinondoni jijini
Dar es Salaam, kwenye mafunzo maalumu kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya
Tanganyika iliyoko Masaki jijini Dar es Salaam jana.Programu hiyo inafadhiliwa na kampuni ya G4S Tanzania, inaratibiwa kwenye
nchi kumi za Afrika kwa ajili ya kuendeleza kuunganisha watoto wa Afrika
kupitia mchezo huo.Kwa mujibu wa waratibu, nchi hizo zimetajwa kuwa ni Tanzania,
Kenya ,Uganda, Rwanda, Ethiopia ,Malawi, Zambia, Botswana, Namibia na Afrika Kusini.
Wanafunzi
wa Shule ya Msingi ya Shekilango ya Dar es Salaam wakifanya mafunzo ya mpira wa
Rugby kwenye viwanja vya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika iliyoko Masaki jijini
Dar es Salaa jana.
angalizo kwa wadau, jaribuni kutofautisha wasichana na wavulana na wasichana kwenye hayo mafunzo maana wasije wazazi wakaanza kuupinga huu mchezo kwa itikadi za kidini
ReplyDeleteAnonymous 1
ReplyDeleteHoja yako nzuri sana naikubali 100%
Lakini kumbuka hapo hao waandaaji lengo lao moja ni kupotosha hao vijana kwa kushajiisha maingiliano yasiyo ya lazima.
Asifiwe yesu
naunga mkono hoja 100%
ReplyDelete