![]() |
Marehemu Mama Misheli Singoye |
Mama mzazi wa Mtangazaji wa Television ya Taifa (TBC1), Angella Michael Msangi, Marehemu Mama Misheli Singoye anatazikwa kesho Jumatano, Aprili 30, 2014.
Ibada itaanza saa tatu asubuhi katika Kanisa la Pentekoste, Kigamboni, jijini Dar es salaam na baada ya hapo safari ya kuelekea kwenye maziko Zinga kwa Awadhi, Bagamoyo, mkoa wa Pwani.
Marehemu Mama Misheli Singoye alifariki Aprili 26, 2014 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ambako alikuwa amelazwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...