Vikao vya Kamati za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (sio la Katiba) vimepangwa kuanza leo na vitaendelea hadi Mei 5, 2014 katika kumbi mbalimbali jijini Dar es salaam, kwa mujibu wa ofisi za Bunge. Kuona ratiba ya kila kamati na mahali watakofanyia vikao 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. 'Siyo la katiba' ha haa haaa...la katiba lile ni balaa.

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...