Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP. Suzan Kaganda leo tarehe 30/04/2014 jioni amewaongoza waombelezaji na watendaji kutoka vyombo vya usalama, askari, taasisi za serikali na zisizo kiserikali za mkoa wa Tabora kuuaga mwili wa Askari PC JUMANNE ambaye aliyefariki baada kupigwa risasi na majambazi akiwa katika majukumu ya utendaji kazi.
Mwili wa marehemu PC JUMANNE ukishushwa
kupelekwa ukumbini kwa ajili ya kuagwa
RPC Tabora ACP. Suzan Kaganda akiongoza
waombelezaji kuaga mwili wa marehemu PC JUMANNE.
Waombelezaji wakiwa katika hali ya majonzi
Viongozi mbalimbali wa mkoa wa Tabora wakiwa katika hali ya huzuni.
Mchungaji wa Kanisa la Waadivensti akiongoza misa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...