Mama Anna Mukami akiwakaribisha wakina mama wa DMV na kumtambulisha mkurugenzi mkuu wa Tanzania Women's Bank wakati Ms Margareth Chacha alipokutana na wakina mama DMV na kuwaelezea sababu za kuanzishwa Benki ya akina mama.
Mchungaji Dr. Nicku Kyangu Mordi akianza kwa sala kabla ya mkutano kuanza.
Ms Margareth Chacha Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank akiongea na akina mama DMV siku ya Ijumaa April 11, 2014 na kuwapa faida ya kufungua AC na Benk hiyo ikiwemo masharti nafuu ya mikopo na kuwaeleza Mabenki mengine inakuwa vigumu kwa wanawake kupata mikopo na akatolea mfano wa sharti moja wpo ni kuwa na nyumba kwa uzoefu wake nyumba nyingi Tanzania zinakuwa kwa majina na waume zao kitu ambacho ni vigumu kwa wanawake wengi kukidhi masharti ya mikopo. Kitu kingine alichoelezea ni kuamisha pesa kupitia benki yao ni kwa haraka zaidi ukilinganisha na Benki zingine.
Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Mama Lily Munanka akifuatilia maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank kulia ni D
Wanakina Mama DMV wakifuatilia maelezo kutoka kwa mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank.
Asha na Mrs Mtalemwa wakifuatilia maelezo.
Mzee Safari ambaye alihudhuria mkutano huo kati ni Mama Kayani.
Wakina mama wa DMV wakiwa kwenye mkutano na Ms Margareth Chacha Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank.
Wakina mama wa DMV wakiwa kwenye mkutano na Mkurugenzi wa Tanzania Women's Bank
Wakina mama wa DMV wakifuatilia maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Women's Bank.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. DMV ni nini...michuzi sio kila mtu anajua haya mavifupi unawekaga banaa...aaarrrgggg!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...