Home
Unlabelled
PASAKA YA KATIBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Zitto ni kiongozi wa kuigwa. uchambuzi wake umekuwa mzuri kwani hajaegemea upande wowote na hata ushauri wa kwamba viongozi wa makundi ndani ya katiba wakutane na viongozi wakuu wa dini umelenga kuondoa sintofahamu iliyopo na kuweka maridhiano katika kupata katiba bora.
ReplyDeletenaamini wale wenye mapenzi mema na nchi hii wata support ushauri huu
Nilikuwa sijua kama Zitto is very bright...from this big up kaka!
ReplyDeleteSwala sio kuegemea upande, ni kuegemea kwenye HOJA! Zitto na yeye anatakiwa kuonesha anaunga mkono hoja ipi, sio tu kukusanya tu maoni ya wasemaji tofauti tofauti.
ReplyDeleteMaoni yalishakusanywa na Tume ya Warioba, sasa yeye Zitto aseme yuko kwenye HOJA ipi.