Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU-Ughaibuni, yenye makao yake kule ujerumani inatoa salam maarumu za siku ya wafanyakazi duniani "MEI MOSI" aka May Day,
Ngoma Africa band itawatakia kila la heri wadau wote duniani kwa kusherehekea sikukuu ya Mei Mosi

Tafadhali pata burudani ya muziki at www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. HIII! FFU-ughaibuni a.k.a viumbe wa ajabu Anunnaki bin watoto wa kelbu

    ReplyDelete
  2. wana ya mbwa majeshi ya kutuliza fujo ughaibuni ninawakubali kisawa sawa
    mdau wenu
    Sikitu Juma
    Gotenborg

    ReplyDelete
  3. waume ndago ze ngomas africa chini ya kamanda mti mkavu ras makunja
    kazi moja tu

    ReplyDelete
  4. kamanda ? naona mmetulia ! sasa hivi mtakinukisha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...