Hakimiliki bunifu inaelezwa kuwa ikieleweka na kutumiwa vyema ndiyo muarobaini wa sekta hiyo kunufaisha wabunifu wa kazi hiyo ya sanaa na waigizaji na hivyo kuwawezesha kuendelea kufanya kazi hiyo.
Je nchini Tanzania hakimiliki iko vipi? Joseph Msami wa Idhaa hii amezungumza na Jacob Steven al maarufa JB ambaye ni mmoja wa wasanii na watayarishaji mashuhuri wa filamu nchini humo. Kwanza anaanza kwa kueleza hali ya hakimiliki ilivyo.
(SAUTI MAHOJIANO)
KUSIKILIZA BOFYA HAPO CHINI:
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...