Wakati leo ni siku ya hakimiliki duniani, maudhui yakiangazia filamu na mustakhbali wake kwa wabunifu wa kazi hiyo na waigizaji, suala la hakimiliki bado linaonekana kuwa ni changamoto.
Hakimiliki bunifu inaelezwa kuwa ikieleweka na kutumiwa vyema ndiyo muarobaini wa sekta hiyo kunufaisha wabunifu wa kazi hiyo ya sanaa na waigizaji na hivyo kuwawezesha kuendelea kufanya kazi hiyo.
Je nchini Tanzania hakimiliki iko vipi? Joseph Msami wa Idhaa hii amezungumza na Jacob Steven al maarufa JB ambaye ni mmoja wa wasanii na watayarishaji mashuhuri wa filamu nchini humo. Kwanza anaanza kwa kueleza hali ya hakimiliki ilivyo.

(SAUTI MAHOJIANO)
KUSIKILIZA BOFYA HAPO CHINI:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...