Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Pamoja na kuwa 'Ndoto za Masikini huishia usingizini', vilevile unaweza kuzifanya Ndoto kuwa halisia!

    Mara zote ndoto zikiwekewa mipango na jitihada huweza kugeuka kuwa kitu halisi...ili mradi tu iwe ni kitu muafaka na usije ukaota unamezwa na chatu ama unaanguka kutokea juu ya mwembe halafu itokee kuwa halisi hakuna atakaye kubali hilo.

    ReplyDelete
  2. Hata mimi sikuelewa huo ujumbe si kweli, kuna fukara wengi waliota ndoto zao zikaatimia wakautupa umasikini kwenye kaburi lasahau. Ndoto za masikini zikifuatiliwa na mipango madhunuti zinaweza zisiishie usingizini bali zitaleta maendeleo.

    ReplyDelete
  3. Only for those who lives with the spirit of GREAT MINDS their dreams are always coming into reality!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...