Marehemu Mwl. Ernestina Kahabuka

Dakika, saa, siku, miezi na sasa miaka mitano toka ulipotuaga tarehe 15/04/2009 na kuzikwa nyumbani kijiji cha Buhangaruti, Mugana Parish Bukoba.

Unakumbukwa daima na mme wako Dr. F.C. Kahabuka, wanao – Anny, Oliva, Mary, Primus, Pelagia, na wakwe zako, wajukuu, zako wote, ndugu zako wote, majirani, ndugu na jamaa na wanafunzi wako wote tunazidi kukuombea upumzike mahali pema huko peponi

Amina

Tulikupenda sana mama lakini Mungu alikupenda zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mzee wa bunjuApril 22, 2014

    Allah akupumzishe kwa amani bibi yetu... mzee Wella pole sana baba angu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...