Mwenyekiti mpya Suleiman Serera akishikana mkono na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Bw. Daninga Philip. Wengine katika picha ni uongozi mzima wa Watanzania wasomao Beijing.
Mwenyekiti aliyemaliza muda wake wa Umoja wa wanafunzi wanaosoma Beijing, China (TzBeijing ) Bw.Philip Daninga akiongea na wanachama wa umoja huo muda mfupi kabla ya zoezi la kupiga kura lililofanyika mwishoni mwa wiki hii kwenye Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania, China. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Bw. Eusebia John (Makamu Mwenyekiti) na Suleiman Serera (Kaimu Mhasibu). Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA.
Hongera Sana Mwenyekiti Mpya Suleiman.Serera na timu yako nzima. Kiongozi wa Hakika popote pale ulipo. Nakutakia kila la kheir katika kudumisha mshikamano na umoja wa WaTanzania huko China. Nina imani utaweza. Tanzania Kwanza.
ReplyDeleteDada Mariam UK