Mhe. Gavana O'Malley akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula |
Mhe. Waziri Membe akitoa salamu maalum kwa wajumbe kabla ya mkutano kuanza. Pembeni ni Mhe. Gavana O'Malley. |
Mhe. Membe akizungumza huku Gavana O'Malley akimsikiliza. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Ulaya ni ulaya ukiangalia kuta ukaangalia samani ni vitu vinavyoeleweka. Tuboreshe mazingira yetu hata viongozi wakienda wilayani kuwe na vitu vinavyoeleweka. Kwa mfano kuna mabati chakavu sehemu nyingi kwanini hayabadilishwi miaka nenda miaka rudi?.
ReplyDelete