Mjomba wake na Ankal wa Libeneke la Globu ya Jamii, Bi. Shahada Ibrahim (wa tatu kulia) akiwa na Wahitimu wenzake wa Ualimu kwa ngazi ya Cheti wakirusha kwa pamoja kofia zao juu mara baada ya kula Nondozz zao katika Chuo ya Ualimu cha Mtakatifu Rock kilichopo Wilayani Korogwe,Mkoani Tanga,ikiwa ni mahafali ya Nane ya chuo hicho ambayo yalifanyika jana Mei 17,2014 Chuoni hapo.
Ankal Shahada Ibrahim akipozi na Wahitimu wenzake.
 Shahada Ibrahimu akiwa ni mwenye furaha tele baada ya kulamba Nondozz yake hiyo aliyoisotea kwa miaka mibeee...
 Shahada akiongezwa na mjomba wake mkubwa Ismail.
 Mama Mzazi wa Shahada, ambaye ni dada wa Ankal, akimpongeza mwanae huku wote wakiwa na furaha tele.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2014

    Hongera sana dadaShahada na wenzako.

    1:Picha ni zuri sana(Camera gani hii Ankal au ni upigaji?)
    2:Joho zuri,yaani 'mmetokelezea'
    3:Back ground nzuri sana-greenish na hiyo milima.....
    4:Keki nayo ina ukijani kama hiyo miti.!

    David

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2014

    mpangilio wa meno wa mama na mtoto kama original na rotated photocopy yaani NIIIceeee!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...